Hata ile ya kwanza kule juu inafaa kwa matumizi ya binadamu...any way hata ungeambiwa ktk hao chagua mmoja uliyependezwa nae still ungepata sononeko kuhusu hao waliobaki itakuwaje?
Wanaume tuna huruma sana aisee acha tu tuthaminiwe!!!
Bondia Tyson Fury amempiga mpinzani wake Deontay Wilder kiasi mpaka amevunjika kidole cha mkono, amepasuka ngoma ya sikio, na kuchanika mdomo wa chini.
Hata hivyo pamoja na kipigo hicho kwenye pambano hilo, bondia huyo amelipwa $20 ml.