Vituko mitandaoni. Tupia chako

Balaa alilofanya humu shozniga,utoto ulikuwa unanambia hivi ukichukua huyu na Rambo kule Afghanistan si wiki tu wanasafisha kila kitu
!

Baadae nikajipa moyo wanapelekwa wanajeshi wa awali kwanza halafu baadae watapelekwa hawa wana.... utoto raha sana
 
Halafu jamaa walikuwa hawafi hata ukiwapiga risasi na mabomu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…