Wanakera sana. Timu mbovu,halafu bado unawafanyia figisu wageni.
Basi wangeshinda,wakafungwa. Yaani kila nikiitafakari hii timu yangu sioni future kabisa.
Timu inaongozwa kwa saundi kinyama,yaani mpaka tunawashtukia.
Bora Simba wanapigwa saundi lakini Timu inatimiziwa mahitaji na matokeo yanaonekana.
Hii yangu tunapigwa saundi mashabiki mpaka wachezaji.
Maaafi!!
Wanakera sana. Timu mbovu,halafu bado unawafanyia figisu wageni.
Basi wangeshinda,wakafungwa. Yaani kila nikiitafakari hii timu yangu sioni future kabisa.
Usiwe na jazba kiongozi, kujenga timu ni mchakato mrefu.
Huwezi kuimarisha timu wakati huo huo upate mafanikio ya 100% uwanjani.
Mpeni muda GSM, kwa msaada wa Mshindo Msola na mtalaam Senzo mtafanikiwa tu.