Unawezaje kutoa kauli za shombo kwa timu kama ile!!
Huwezi kupata yote sehemu moja.
Ameenda Yanga kufuata pesa, Yanga wanampa anachotaka.
Masuala ya ushindi kwenye pitch ni suala lingine.
Simba alikuwa anapata hela ndogo lakini alikuwa anajenga jina, hivyo amejipatia heshima kubwa.