Vituko mitandaoni. Tupia chako

Kombe lenyewe bayaaa

Hay ni maneno yako au kuna mtu mwengine kaandika? Mbona tulikubaliana lakini huu mchezo tu,mwisho kama tumeshindwa sisi mashabiki wa Yanga tuwape pongezi wapinzani walituzidi mbinu.Huu ni ushabiki
au siyo kama yanga angeshinda inamaana Simba alizidiwa mbinu uwanjani.wape pongezi wapinzani wako sawa
.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…