Dingi alikoseaga kunipa kumi akanipa miambili zilikuwa zinafanania weeee eeeee eeee siku hiyo nilihisi mwalim mkuu nalingana nae mshahara siku hiyo nikaajir mpka mabody guards na chenji ikabaki
Hay ni maneno yako au kuna mtu mwengine kaandika? Mbona tulikubaliana lakini huu mchezo tu,mwisho kama tumeshindwa sisi mashabiki wa Yanga tuwape pongezi wapinzani walituzidi mbinu.Huu ni ushabiki
au siyo kama yanga angeshinda inamaana Simba alizidiwa mbinu uwanjani.wape pongezi wapinzani wako sawa