Vituko mitandaoni. Tupia chako

Hana msimamo huyu. Kwanza mwanaume unamuombaje mwanamke msamaha?
Toka lini. Angesimamia kauli yake wananchi walikua wameshamuelewa.

Mtaka kanikera sana kuomba radhi,basi tu.
Mbona mwenzie Makonda tupo nae tu kitaa tunakula nae mahindi ya kupaka ndimu na pilipili na siku zinakata tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…