Wadada wa Kichaga sasa watateseka kweli. Na kwa vile huwa wanasingiziwa eti huwa wanaua waume zao, huyu Grace aka Neema ndiyo kawaharibia kabisa. View attachment 1858698
utachomwa moto na utakufa huku unashangaa juzi kkoo nasikia walikuja na ndoo mbili tu soko lote lile,kwako watakuja na kandoro za mia tatu kuzimia moto