Vituko mitandaoni. Tupia chako

Hii ni kweli kabisa,ilishawahi kunitokea kipindi ndoa changa,nikamfungia wife chumbani nikazuga kwa sebule km nacheki TV,sauti ya shetani ikaniambia "vipi hujui night club zilipo?"Mimi huyo nimerudi 0730am nipo njwiii.Nikamtoa lockup,toka siku hiyo hajawahi kuzingua tena.Nowdays wakizingua unavaa zako earphone unaingia zako shamba la Jf dakika unakutana na wana kama nyie no stress maisha yanasonga.
Anyway wanawake sio nyanja zote kuishi nao kwa akili wakati mwingine ukiishi nao kiujinga/kijuha unatoboa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…