πππ Kuna jamaa alileta uzi akasema baada ya kumjibu vibaya tapeli kama ulivyofanya ww, tapeli akamuambia jamaa kwamba hizo pesa nilizokutumia ukishazitoa uziviringishe utengeneze mduara halafu ujiingizie mku*ndun!
Kimbaumbau atulize boli japo hali ni tete kama mzee anapenda misambwanda. Hapa nilipopanga pia tuna huu mtihani ila tushazoea sema ukiuona kwenye kitenge ndo tatizo
Kimbaumbau atulize boli japo hali ni tete kama mzee anapenda misambwanda. Hapa nilipopanga pia tuna huu mtihani ila tushazoea sema ukiuona kwenye kitenge ndo tatizo