Vituko mitandaoni. Tupia chako

Halafu hivi kule kwa wazungu, jamaa hutoa mahari kweli, mi sijashuhudia hiyo maneno!?? 🀣
Ngoja wanaojua watupe mwongozo,huku kwetu daah shangazi, mjomba, bibi yaani wote madalali, mlolongo wote huo na ndiyo chanzo cha hata mahari kuwa kubwa ili kuwa include wote angalau wapate mgao
 
Ngoja wanaojua watupe mwongozo,huku kwetu daah shangazi, mjomba, bibi yaani wote madalali, mlolongo wote huo na ndiyo chanzo cha hata mahari kuwa kubwa ili kuwa include wote angalau wapate mgao
Kweli hata kwetu same thing, lakini from my migratory experience, sijapata kuona kabisa wazungu haswa, wakifanya haya, maybe kwa siri, sijui, wacha waje watueleze!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…