Vituko mitandaoni. Tupia chako

Samaki huyu anayedhaniwa kuwa na sura mbaya kuliko wote anaishi kwenye maji yenye kina cha kuanzia futi 2000 mpaka 4000.
Akiwa ndani ya maji anakuwa na muonekano wa kawaida, akitolewa anapata muonekano wa kutisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…