Vituko mitandaoni. Tupia chako

hayaaa unaacha damu nzuri hivi???? πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
angekuzalia vitoto vizuri ni acha kabisa! au joka la kibisa???

watoto wazuri hawaseme wagi mbov mubofu!!! una tatizo mahali wewe.
weee!! angalia mfalme Daudi alifika bei kwa mke wa Hulia.
samsoni ndo usisemew kabisaaaa!!

huyu hakosi soko utaishia kujinyonga tuuu!! subili
 
Jamii Forums imevamiwa!!!
Yaani imekuwa kama salini za wanawake wa Tandika.

Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…