Vituko mitandaoni. Tupia chako

Mti huu una miaka zaidi ya mia moja.
Mti huo umeishi kwenye mapambano makali ya upepo mkali na vimbunga kwenye eneo la Anum mashariki ya Ghana.
Kwenye eneo hilo lenye mmonyoko, nyumba kadhaa zimeporomoka na kuacha mti huo ukipambania maisha yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…