Viongozi wengi Duniani wana matatizo ya Moyo, Sukari, Kansa.
Magonjwa hayo ukikutana na Corona safari inakuwa nyepesi.
Na hapa barani Afrika viongozi wetu hawapendi kuhusishwa na ugonjwa wa Corona hata kama kweli amepata maambukizi..
Kwahiyo kiongizi anapofariki anayetoa taarifa ya chanzo cha ugonjwa ni serikali