Vituko mitandaoni. Tupia chako

Nje ya mada,wakuu naomba nielekezwe namna ya ku-set off hii kitu,inani-bore kinyama yani.View attachment 1727232

Sent from my Redmi Note 5 using JamiiForums mobile app
Kama unatumia app, nenda kwenye settings halafu click mahali panaposema signature. Ukishafika hapo, turn it off. JF wenyewe wamei-turn off automatically ila kuna wakati huwa inafufuka tu unajikuta mtu unautangazia ulimwengu simu unayotumia hata bila kujua.

Kama unatumia web nenda kwenye signature napo ukafanye vivyo hivyo. Turn it off.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…