Asante japo umehakikisha kuwa umenirushia dongo kwanza. Wabongo bana sijui tukoje.
Picha hiyo hata kwa sheria yetu ya makosa ya mtandaoni tu hapa nchini inakutia hatiani; na haina dhumuni lo lote jingine mbali na kuwadhalilisha hao malaika ambao hata hawajui walifanyalo. Hata usingeitoa, mods wangeiondoa tu.
Haya tusonge mbele kamanda