Vituko mitandaoni. Tupia chako

Haya ni matumizi mabaya ya fedha... Wana UWABATA naomba ridhaa yenu kwenye kikao kijacho niinyooshe taasisi hii.. sioni haja ya kulipa rent kwenye jengo kubwa kiasi hiki... Tungeendelea kuweka meza yetu chini ya mti na ofisi za mikoa tutafute vitambulisho vya elfu ishirini tutafute eneo tuweke meza kila wilaya.

Mnipe niinyooshe taasisi hii..kwa miaka mitano.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…