For one slope ingekuwa kubwa.
Na hawawezi kuipunguza maana ukiangalia kulia kule kuna barabara inapitia chini ya daraja.. hawajakosea kama tunavyotaka kuamini
Hilo Daraja au Flyover Mkuu inapita juu ya barabara upande wa kushoto na inakuja kutua kwenye barabara nyingine upande wa kulia.
Hapo alipoonesha kuunganisha haiwezekani maana mwinuko (slope/gradient) itakuwa kubwa na hatari kwa magari. Huo mzunguko wote umeletwa ili kusaidia kupunguza mwinuko kwa namna rafiki kwa watumiaji.