Vituko mitandaoni. Tupia chako

Sasa angenyonya mpaka lini?, pamoja na hivyo hayo maziwa ya huyo binti yake hawez shiba, lazima angekufa tu
 
Sasa angenyonya mpaka lini?, pamoja na hivyo hayo maziwa ya huyo binti yake hawez shiba, lazima angekufa tu
Kwamba angenyonya mpaka lini sijui,ila ninachojua,kama leo hii mtu akipewa uwezo wa kuongeza hata dk 10 za mpendwa wake asiondoke duniani angefanya hivyo bila kujiuliza.

Ndicho alichofanya huyuo binti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…