Mwaka mmoja wa kumaliza A'level niliwahi kukaa hostel ila ilikuwa kistaarabu zaidi na zaidi.
Maana ilikuwa kila time ya msosi tunakuwa kwa makundi. Kila kundi linakuwa na watu 6 na meza yao.
Hivyo kulikuwa hakuna jam, maana kila mtu alikwenda kwenye meza yake tu, iwe asubuhi, mchana au jioni.