Vituko mitandaoni. Tupia chako

Wewe haukuwa Kama hao mkuu?
Au hajawahi kaa hostel??
Mwaka mmoja wa kumaliza A'level niliwahi kukaa hostel ila ilikuwa kistaarabu zaidi na zaidi.

Maana ilikuwa kila time ya msosi tunakuwa kwa makundi. Kila kundi linakuwa na watu 6 na meza yao.

Hivyo kulikuwa hakuna jam, maana kila mtu alikwenda kwenye meza yake tu, iwe asubuhi, mchana au jioni.
 
Oh basi umesoma shule ya watu wastaarabu.
Kuna shule ni vichomi
,,ukitaka usipate usumbufu ni aidha uwahi kabla ya muda uchukue au uende baada ya watu wote kuisha.
Ila hiyo Mara nyingi huwa siku zile za vyakula vizuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…