Vituko mitandaoni. Tupia chako


Basi tuu ila kupigana sio fani ya wanawake.....

Wanawake wote wakipigana lazima ukuwe na haya; kuvutana nywele/mawigi/ vilemba, kuvutana nguo, kung'atana, kufinyana na kulaliana chini hamnaga ngumi kama wanaume....

Sijui kwanini huwa wanapigana.....

Binafsi sipendi ugomvi, kupigana wala kujibizaja... Mbawa zangu teke, nazikimbiza mapemaaa.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…