Lishe duni.
Samaki hawapatikani tena baharini,
Kuku wa kienyeji wameisha,
Dona lina sumu kuvu,
Chakula pekee ni chips kuku feki na mayai ya kichina.
Mimba hazikai😎😎
Mtoto wa mcheza basketball maarufu Michael Jordan aitwaye Marcus Jordan mwenye umri wa miaka 33, amezama kwenye penzi zito na mrembo aitwaye Lars Pipen mwenye umri 49.
Mrembo huyo alikuwa mpenzi wa baba wa kijana huyo Michael Jordan.
Mwanamama huyo ameamua kutembea na baba na mtoto wake.