Vituko mitandaoni. Tupia chako

Afya ya meno na kinywa inachukuliwa kwa uzito mkubwa sana hukoo ulinwenguni. Wanasema mdomoni kuna bakteria hatari sana na kulingana na mazingira ya mdomoni ni rahisi sana kwao kuingia kwenye damu. Tafiti mbalimbali zimeonyesha uhusiano wa kisababishi (causal relationship) kati ya afya mbovu ya meno na kinywa; na magonjwa ya moyo.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…