Nitamshauri afunge ndoa ya kiislam, itamwezesha kuwa na mke zaidi ya mmoja na bado atapata nafasi ya kuvunja ndoa kihalali kabisa ikitokea amenyimwa tendo.
Simple
Bikra magumashi zipo kibao Magomeni, Ilala, Kinondoni na Kariakoo..
Ukionekana una mzigo na kama familia ya demu imekuelewa anaitwa fundi kupachika 'Kibereko' uhangaike nacho๐๐๐
Watu hawataki mchezo kwenye kusaka maokoto