Vituko mitandaoni. Tupia chako

Reply zako mpaka nizikutie hivi πŸ₯΄πŸ₯΄πŸ₯΄ notification sipati


🀚🀚🀚 Umesalimika lakini
 
Reply zako mpaka nizikutie hivi πŸ₯΄πŸ₯΄πŸ₯΄ notification sipati


🀚🀚🀚 Umesalimika lakini
Ooooh pole.

Kuna shida ya notifications kwa baadhi ya watu. Kwangu naona zinafika bila tatizo.

Mimi nimesalimika ndugu yangu. Vipi huko? Kapwa kangu kameshaanza kusimama/kutembea?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…