Hannah. Kuna picha yako uliwahi kuweka Selfika ukasema eti ngoja ugeuke ili tuone "tabia". Niliisevu mahali lakini nimeitafuta sijaipata. Bahati yako "tabia nzuri" unayo tena sana tu.
Ukweli daima utabakia kwamba mwanamke ni tako bana maana sura hata mbuzi anayo (japo hakuna mwanaume aliyewahi kuoa mbuzi!)πππ
β‘οΈβ‘οΈβ‘οΈ Juzi hapa stendi ya Misungwi mjini alipita binti amefungasha nyuma hatari lakini sura yake dah! Majamaa wakaanza kusema huyu aisee na ubaya wake wa sura mi naoa hata leo huyu. Niliwaunga mkono kwa asilimia zote maana si kwa kiuno kile cha nyigu na mkia ule dadeki!