Wa kwanza kushoto. Idrissa Abdul Wakil (Rais wa Zanzibar, Makamo wa pili wa rais serikali JM Tanzania ).
Ali Hassan Mwinyi ( Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania).
Mwalimu Nyerere ( Mwenyekiti wa CCM).
Dr Salim Ahmed Salim ( Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Ulinzi ).
Joseph Warioba ( Waziri Mkuu na Makamo wa Kwanza wa Rais) wawili wengine sijawatambua kwakuwa hawaonekani vizuri.
Hii ni baada ya 1985 na kabla ya 1990