Vituko mitandaoni. Tupia chako

Dah ..... imenikumbusha goli la mama milioni 10.........
ila pia wimbo nadhani ni wa Marijani Rajab.....Dunia ya sasa Imani imekwisha
Jiridhisheni kabla ya kutoa msaada
Kwenye mambo kama haya ukiamua kutoa toa kama sadaka na toa kwa moyo mweupe. Huyo kama ni tapeli basi atakwenda kujuana na Mungu wake huko!

Ukiitumia hii fomyula hutakaa ujute kamwe maishani mwako katika kusaidia watu na wenye uhitaji.

Yote kwa yote ni vizuri kuwa waangalifu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…