Wakati wa utawala wa Mkapa kulikiwa na wana CCM watano wenye sifa kama hizo wakanyang'anywa uraia wao kisha wakaambiwa waombe ili wapate uhalali.
Unakumbuka kamanda?
Wakati wa utawala wa Mkapa kulikiwa na wana CCM watano wenye sifa kama hizo wakanyang'anywa urai kisha wakaambiwa waombe ili wapate uhalali.
Unakumbuka kamanda?
Aisee sikumbuki. Akina nani hao? Najua Mkapa alikuwa na bifu na Jenerali Ulimwengu ila sina uhakika kama sekeseke la uhalali wa uraia wake lilikuwa kipindi cha Mkapa, J.K au Magufuli.