Ibara ya 148(1) ya Katiba ya JMT 2977 Mamlaka ya kuliamuru Jeshi iko kwa Rais wa JMT.Tunataka tujue tangu lini Chalamila Alitwaa Urais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania? Lazima Rais atuambie uhusika wake katika kadhia hii na tamko hili la hovyo linalo vunja katiba ya nchi.