Kuna mvulana kutoka Afrika anaweza kutimiza miaka 30 na bikra?
Fikiria Sadio Mane ametoka kijijini Bambali ambako hali ya maisha kwenye vijiji vyetu ni duni.
Pia kumbuka huyu bwa mdogo ameishi na hela ndefu zaidi ya miaka 6 sasa ambazo warembo wangi barani Afrika na kwingineko zinawavutia.