Zile zilikuwa projekti za watu. Hizi nilishazitumia kupima majamaa yangu matatu na dada zao 7 wote ni wangu. Hizi unapima na ukiwa na shaka zaidi ndiyo unaenda kipimo cha juu zaidi. Usahihi wake ni >90%. Mpaka Maury show alikuwa anazitangaza!
Binafsi natamani sana kufanya jambo kwa jamii yangu kama alivyofanya Sadio, angalau hata chuo cha ufundi tu......vijana wawe na chakufanya,maana nikikumbuka njia tuliyopita daah, only God knows
Wanafanya ibada kwa ishara.
Ukikosa nafasi kuswali kwa kusimama unaruhusiwa kuswali kwa kukaa au kulala.
Pia unaruhusiwa kuswali kwa ishara kutokana na mazingira uliyonayo
Binafsi natamani sana kufanya jambo kwa jamii yangu kama alivyofanya Sadio, angalau hata chuo cha ufundi tu......vijana wawe na chakufanya,maana nikikumbuka njia tuliyopita daah, only God knows