Fundi Xtrail Mbeya. Jinsi nilivyomsave Pendo wangu. Nina gari la Xtrail so hata akituma au kupiga Simu sina wasiwasi wanajua ni fundi wa gari aliyeko Mbeya Mjini. Nikienda Mbeya toka hapa Home Rungwe namwambia, fundi amenipigia niende akalitengeneze gari.
View attachment 2852186