wa ndugu hii sio bongo, ata kama wabongo mambulula lakini hii too much, Hii kitu ni ya Kongo DRC maeneo ya Mbujimayi, wao wanatumia faranga (franc) na mara nyingi maeneo kisangani na mbujimayi na goma wanaangaliga mechi kwenye vilabu kwa faranga 300 mpaka 500