Kitu cha muhimu zaidi ni kufuata procedure za hiyo practical,hata kama utashindwa kumaliza lakini kama utakua umefuata procedure vizuri itakusaidia na uwe accurate na unachokifanya hata kama ni kidogoWapendwa wana jf naomben mnisaidie nijue vitu vya muhimu katika Practical Interview(Interview ya Vitendo)
Ndo nilitaka kuulizaPractical gani kwanza au ndo zile za form three
Kumbe huu uzi bado upoNdo nilitaka kuuliza