Vitu vinauzwa, bei ni sawa na bure.

Vitu vinauzwa, bei ni sawa na bure.

Upo wapi kwanza kabla cjapiga simu.. make unaweza kuta upo mtwara na mm npo dar..
 
Kuna matangazo vitu vidogo vinaharibu, kweli vyombo vichafu unatangaza sasa hapo mfano mie kuna nini kitanifanya nisifikiria hata hayo yaliyo kama mapya ni machafu na yamejaa kunguni juu.

Jifunzeni kutangaza kitu kuvutia watu...
Noise inaanzia hapo kwenye vyombo vichafu. Na ni indicator ya kwamba na vingine na vyenyewe si vizuri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom