Vitu used

ivanaGIZ

Member
Joined
Aug 18, 2017
Posts
88
Reaction score
35
Wakuu mimi najihusisha nakuuza na kununua vitu used ikiwa ni furniture, electronics, toys vifaa vya jikoni. kama una kitu unauza au unataka nitafute kwa namba 0712623938
 
Mbaba naweza kupata kati ya ps3,4au HD BOX Kama inatikana moja Kati ya hizo niambie
 
Wakuu Mimi najihusisha nakuuza na kununua Vitu used ikiwa ni furniture, electronics, toys vifaa vya jikoni. kama una kitu unauza au unataka nitafute kwa namba 0712623938
Jeee upo insta au fb?
Weka majina unayotumia
 
mi nauza ps2 complete bei 130000 padi mbili memiry
 
Mimi nahitaji feni ..Nitext PM kama unayo
 
Wakuu mimi najihusisha nakuuza na kununua vitu used ikiwa ni furniture, electronics, toys vifaa vya jikoni. kama una kitu unauza au unataka nitafute kwa namba 0712623938
Nina office table mninga call 0713794962
 
Nauza friji ni zima ila imekuwa ndogo kwangu kwa sasa kulingana na matumizi,ni nzima kabisa haina tatizo lolote,niko st. Joseph mbezi bei 290,000/= mm nahitaji freezer kama utakuwa nalo
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…