maramojatu
JF-Expert Member
- Mar 16, 2012
- 2,012
- 2,644
WanaJF,
Tunavyoelekea uchaguzi mkuu hebu tujadiliane kwa nini Tanzania hatuna maendeleo.
Hayati baba wa Taifa alisema kuwa ili nchi iendelee inahitani vitu vifuatavyo;
Ardhi
Watu
Siasa safi
Uongozi Bora
Tukijadili kidogo tunaona ardhi tunayo tena yenye rutuba kuliko nchi nyingi Afrika. Watu milioni 61 wapo. Siasa safi ipo sana tu. Tukimalizia na uongozi bora chini ya mama Samia nini tena tumebakiza?
Au kuna ambavyo haviko sawa.
Tujadiliane
Tunavyoelekea uchaguzi mkuu hebu tujadiliane kwa nini Tanzania hatuna maendeleo.
Hayati baba wa Taifa alisema kuwa ili nchi iendelee inahitani vitu vifuatavyo;
Ardhi
Watu
Siasa safi
Uongozi Bora
Tukijadili kidogo tunaona ardhi tunayo tena yenye rutuba kuliko nchi nyingi Afrika. Watu milioni 61 wapo. Siasa safi ipo sana tu. Tukimalizia na uongozi bora chini ya mama Samia nini tena tumebakiza?
Au kuna ambavyo haviko sawa.
Tujadiliane