we cheki na hao matajiri, then kama wanayo waseme bei....kama nilivokuambia natafuta ya bei nafuu.....
iko katika hali gani mkuu?? kama vipi weka picha fasta....af bei ni fixed au ndo umeanzia hapo....je kuna mazungumzo??
Mkuu iko katika hali nzuri kwa sasa inaendeshwa na mwanamke, picha sitoweza kupata kwa sasa
Hii mantiki yake huwa nini hasa, mnamaanisha wanawake ni watunzaji sana, hivyo mtu akinunua chombo chochote ilimradi kilikuwa na mwanamke kitakuwa bora! Kigezokinachotumika hapa hasa ni nini.
Wanawake mpooooooooooooooooooo........!!!!
Jibu hoja Kijana. Elimisha watu, ottherwise uniambie umekalili huu msemo unaotumika mara kadhaa katka kunadi vitu. (Simu kama iPhone, Music Systems, Magari etc.)hacha ushabiki kama huna gari kaa kimya
Mkuu iko katika hali nzuri kwa sasa inaendeshwa na mwanamke, picha sitoweza kupata kwa sasa