VIts ya bei nafuu inahitajita ASAP

ZionTZ

JF-Expert Member
Oct 6, 2009
1,283
538
please ni pM, kwa yeyote aliyonayo af akawa anaiuza tafadhali check with me tufanye biashara fasta
 
Poa mkuu, lakini angalia usitafute ya bei nafuu sana. Utakuwa rafiki na mafundi.


i have the margins so dont worry, kabla ya ununuzi lazma likaguliwe na proffesional mechanics.....
 
Mkuu iko katika hali nzuri kwa sasa inaendeshwa na mwanamke, picha sitoweza kupata kwa sasa

Hii mantiki yake huwa nini hasa, mnamaanisha wanawake ni watunzaji sana, hivyo mtu akinunua chombo chochote ilimradi kilikuwa na mwanamke kitakuwa bora! Kigezokinachotumika hapa hasa ni nini.
Wanawake mpooooooooooooooooooo........!!!!
 
Hii mantiki yake huwa nini hasa, mnamaanisha wanawake ni watunzaji sana, hivyo mtu akinunua chombo chochote ilimradi kilikuwa na mwanamke kitakuwa bora! Kigezokinachotumika hapa hasa ni nini.
Wanawake mpooooooooooooooooooo........!!!!

hacha ushabiki kama huna gari kaa kimya
 
Mkuu iko katika hali nzuri kwa sasa inaendeshwa na mwanamke, picha sitoweza kupata kwa sasa


mawasiliano inakuaje kaka....?? nitumie namba yako au ya muuzaji nijue jinsi ya kuwapata.....NI YA RANGI GANI?? kuna vitu unaweza kuvielezea hata bila picha mtu akapata japo idea hiyo gari ni ya namna gani, mfano mileage, color, model, produced year etc etc....nipo serious mkuu leta majibu mapema tufanye kazi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom