Vitovu vikubwa kwa watoto

Mwanitu

JF-Expert Member
Feb 19, 2010
1,036
592
Naomba ushauri.Mtoto akizaliwa na kitovu kikubwa kuna uwezekano wa kukirudisha kikawa cha kawaida?Je kama ni operation Yafaa afanyiwe akiwa na umri gani?
 
Sijaelewa swali lako vizuri, ila mimi mwanangu nilimzaa akiwa na kitovu cha kawaida ila alivyofikisha kuanzia mwez 1 hadi 3 kikawa kikubwa...nilichofanya nilichukua plasta na shilingi 200 nikawa nambandika kwenye kitovu na kila nnapomuogesha namtoa napapaka poda nambandika tena...ndani ya mwez kitovu kikanywea mpaka leo kimeingia ndani
 
Naomba ushauri.Mtoto akizaliwa na kitovu kikubwa kuna uwezekano wa kukirudisha kikawa cha kawaida?Je kama ni operation Yafaa afanyiwe akiwa na umri gani?
Ndio inawezekana kabisa kufanyiwa operesheni katika umri wowote.
 
Sijaelewa swali lako vizuri, ila mimi mwanangu nilimzaa akiwa na kitovu cha kawaida ila alivyofikisha kuanzia mwez 1 hadi 3 kikawa kikubwa...nilichofanya nilichukua plasta na shilingi 200 nikawa nambandika kwenye kitovu na kila nnapomuogesha namtoa napapaka poda nambandika tena...ndani ya mwez kitovu kikanywea mpaka leo kimeingia ndani
Inawezekana tena bila operation.

Tafuta Tsh. 20/= ifunge kwenye kitambaa kisafi, weka kwenye kitovu hakikisha kitovu umekibinya kimerudi ndani (hakiumi), then funga plasta, hakikisha maji hayagusi pale.

Unaweza kubadilisha plasta kila baada ya week or two weeks.

Baada ya mwezi au miezi miwili atakuwa yuko poa.
 
Back
Top Bottom