Viti Maalum wanapatikanaje CHADEMA?

Viti Maalum wanapatikanaje CHADEMA?

ntamwangah

Senior Member
Joined
Jan 16, 2013
Posts
164
Reaction score
24
Ni kuhusu wabunge wa viti maalumu katika chama cha chadema, je wabunge wa viti maalumu ndani ya CHADEMA wanapatikanaje? je kuna kura zinapigwa? ni kura zipi hizo?

Je kutoka mkoani? naamini kila mkoa hushindanisha ili kumpata aliyeshinda kimkoa na anakuwa kama mbunge mshindi wa mkoa,je vipi kuhusu kitaifa wanashindanishwa kwa kura zipi? au ni viongozi tu wanaopendekeza fualani na fulani?

Jje ili mtu ateuliwe kuwa mbunge vipi maalumu lazima huo mkoa ushinde nafasi ya ubunge? je ni kura zipi zinzhesabiwa? je kama mkoa utahitajika kutoa wabunge viti maalumu watano ni kigezo kipi hutazamwa?

Nahitaji msaada katika haya ndugu zangu wanachadema.Na kumbukeni mwaka huu mtakuwa na wabunge wengi viti maalumu zaidi ya hamsini hivyo ni mhm hata kwenu kujua haya.
 
viti maalum kupata ni rahisi sana kama ukiwa na majina yanayoishia na
1.munis
kimario
mtei
nkya
mosha
mrema
lema

2. kuwa karibu na hawa wajesiria mali
Mbowe
mtei
 
viti maalum kupata ni rahisi sana kama ukiwa na majina yanayoishia na
1.munis
kimario
mtei
nkya
mosha
mrema
lema

2. kuwa karibu na hawa wajesiria mali
Mbowe
mtei

pia
malecela
sitta
kikwete
warioba
mwinyi
masaburi
 
Walioshindwa uchaguzi jimboni na kuwa nafasi ya pili hupewa ubunge viti maalum. Nakumbuka Rose Kamili na Maulidah Komu. Na wengine waliopigiwa kura na wanawake wenzao huko bawacha
 
Ni kuhusu wabunge wa viti maalumu katika chama cha chadema, je wabunge wa viti maalumu ndani ya CHADEMA wanapatikanaje? je kuna kura zinapigwa? ni kura zipi hizo?

Je kutoka mkoani? naamini kila mkoa hushindanisha ili kumpata aliyeshinda kimkoa na anakuwa kama mbunge mshindi wa mkoa,je vipi kuhusu kitaifa wanashindanishwa kwa kura zipi? au ni viongozi tu wanaopendekeza fualani na fulani?

Jje ili mtu ateuliwe kuwa mbunge vipi maalumu lazima huo mkoa ushinde nafasi ya ubunge? je ni kura zipi zinzhesabiwa? je kama mkoa utahitajika kutoa wabunge viti maalumu watano ni kigezo kipi hutazamwa?

Nahitaji msaada katika haya ndugu zangu wanachadema.Na kumbukeni mwaka huu mtakuwa na wabunge wengi viti maalumu zaidi ya hamsini hivyo ni mhm hata kwenu kujua haya.

Mwaka huu walitoa mwongozo kuwa kila jimbo wajitokeze wagombea viti maalum wasiopungua kumi. Wapigiwe kura mshindi wa kwanza mpaka wa kumi. Then majina yote yalipelekwa ya kila jimbo. baada ya uchaguzi wataangalia idadi ya wabunge wa kuchaguliwa Then watachagua best candidet kutoka kila jimbo kutegemea na mahitaji.
 
Mwaka huu walitoa mwongozo kuwa kila jimbo wajitokeze wagombea viti maalum wasiopungua kumi. Wapigiwe kura mshindi wa kwanza mpaka wa kumi. Then majina yote yalipelekwa ya kila jimbo. baada ya uchaguzi wataangalia idadi ya wabunge wa kuchaguliwa Then watachagua best candidet kutoka kila jimbo kutegemea na mahitaji.


Miaka yote wanasema hivyo lakini mwisho wa siku tunaona kwenye bunge lililopo wanaoitwa best waliochaguliwa viti maalumu ni hawa wafuatao

1.Dada yake tundu Lissu
2.Biinti wa Ndesamburo
3.Joyce Mukya hawara yake mbowe aliyezaa naye

VITI MAALUMU NI VYAO NA FAMILIA ZAO
 
Back
Top Bottom