Vitenge collection, Tunauza jumla na reja reja

Vitenge collection, Tunauza jumla na reja reja

Joined
Jan 3, 2014
Posts
12
Reaction score
1
Tunauza vitenge vya jumla na reja reja tunapatikana Kigoma na vitenge vyetu vyote tunatoa Congo. Bei zetu ni poa sana kwa wazoefu wanajua mfano Hitaget hapa Vitenge Collection tunauza 27,000 ila mkoa kama Dar kinauzwa 50,000 kwahiyo ndugu mnakaribishwa kwa bidhaa bora.

Upendavyo wewe kuja huku au tukutumie. Karibu

Mawasiliano 0785361050 kwa WhatsApp au 0769241355 na 0653400525
 

Attachments

  • 1435669913143.jpg
    1435669913143.jpg
    23.2 KB · Views: 296
Aisee Safi sana,ila picture hainyeshi Vizuri
Aina ya
Wax na Dubai najua ndio hot kwenye soko,ile aina Soso ila siku hizi vimepote
Vipi kuna aina mpya?
 
Hitaget-27,000
Makenzi- 28,000
Nichem-22,000
Matrashe-36,000
Java-27,000
Damask- 73,000
Gold Star- 53,000
Wax-29,000
London Wax-15,000
Hivyo vyote ni original na hivi ni vichache vipo vingi
 
Back
Top Bottom