Karbu Sana MkuuAhueni unauza bei rafiki kama ile ya Iringa mjini. Pale maeneo ya Meriwa kama unaeelekea mjini, kuna jamaa wanauza bei ya kulangua mpaka basi.
Mnapatikana pande zipi hapo Dodoma?Karbu Sana Mkuu
Hiyo maana ya mzungu. Kibongo bongo kikiwekwa magodoro na kitambaa tayari sofa bedKwanini vinaitwa vitanda vya sofa ikiwa havina sofa.
View attachment 2520028
Nilidhani hicho ndio kinapaswa kuwa kitanda cha sofa.
Tupo mipango karibu Sana 0710 954395Mnapatikana pande zipi hapo Dodoma?
Sawa karibu sanaKwanini vinaitwa vitanda vya sofa ikiwa havina sofa.
View attachment 2520028
Nilidhani hicho ndio kinapaswa kuwa kitanda cha sofa.
Hivi avilegei hata shoo iwe nzito kiasi ganiiiHavilegei?
Nikipigia show hapo hakitaanza kutoa sauti hicho??
Mkuu ebu toa location maana jana (usiku) nimevunja chaga..na umeweka tangazo wakati muafaka kabisa..
![]()



Tupo dodoma mipango nicheki 0710 954395