Weka bei mkuu, nimevipenda hata mimi, au vipi Mkuu? Wewe weka uone kama hatujajilipua mapema. ni vizuri, shida ni bei, maana unaweza ukaanza kumtafuta mhusika kumbe bei hatuiwezi wengi.
Wakuu bei zake ni Tsh 350,000 kwa 5x6 na Tsh 400,000 kwa 6x6 hicho sio rangi yake hiyo mpauko hapo kilikuwa kinaandaliwa kupigwa msasa then vanish.Karibuni wakuu
Mkuu basi nichangie hapa nina 200,000/= nataka nikamate mzigo huo wa mia tatu msaada kusaidiana mkuu na wewe si utafunga harusi wa kukuchangia ni sisi mkuu.
Weka bei mkuu, nimevipenda hata mimi, au vipi Mkuu? Wewe weka uone kama hatujajilipua mapema. ni vizuri, shida ni bei, maana unaweza ukaanza kumtafuta mhusika kumbe bei hatuiwezi wengi.
Wakuu bei zake ni Tsh 350,000 kwa 5x6 na Tsh 400,000 kwa 6x6 hicho sio rangi yake hiyo mpauko hapo kilikuwa kinaandaliwa kupigwa msasa then vanish.Karibuni wakuu
call 0713876210