Vitambulisho vya taifa

Vitambulisho vya taifa

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,286
Reaction score
10,831
Kwa sasa mchakato wa vitambulisho vya taifa uko mkoani Morogoro. ila nina maswali kiasi juu ya huu mchakato.


  1. Mimi nlijisajili tegeta ila kwa sasa maisha yangu ni mkoani Dodoma, je nijisajili tena?
  2. je kuna tofauti gani kati ya vitambulisho vya taifa na kitambulisho cha mpiga kura(kiutendaji)
  3. Wanapotangaza wanasema usipokuwa nacho unahesabiwa sio raia, je watanirudisha nchi gani kama mimi sio raia(nimeanza kujua mitaa ya marekani ili wakinikamata naenda U.S.A uzuri english yangu inanibeba)
  4. Hivi huu mchakat ulipata mawazo au ushauri kutoka kwa wasomi au ndo kupeana ridhiki mtoto wa baba na mjomba.?
 
iyo kua kama hauna sio raia sio kweli, ni haki ya kila raia kua nacho, those above 18, ila ukiwa huna haimaanishi kua unakosa haki za uraia
wenye mamlaka ya kudefine uraia wako ni idara ya uhamiaji Tanzania na sio NIDA
 
Kwa sasa mchakato wa vitambulisho vya taifa uko mkoani Morogoro. ila nina maswali kiasi juu ya huu mchakato
  1. Mimi nlijisajili tegeta ila kwa sasa maisha yangu ni mkoani Dodoma, je nijisajili tena?
  2. je kuna tofauti gani kati ya vitambulisho vya taifa na kitambulisho cha mpiga kura(kiutendaji)
  3. Wanapotangaza wanasema usipokuwa nacho unahesabiwa sio raia, je watanirudisha nchi gani kama mimi sio raia(nimeanza kujua mitaa ya marekani ili wakinikamata naenda U.S.A uzuri english yangu inanibeba)
  4. Hivi huu mchakat ulipata mawazo au ushauri kutoka kwa wasomi au ndo kupeana ridhiki mtoto wa baba na mjomba.?

unajua mambo mengine bwana jamaa anaswali zuri na lenye mantiki lakini habari za mitaa ya marekani na kiingereza yametoka wapi? wewe mitaa unaijua kwene miziki ya huko sasa kuna watu wameishi huko na wanajua lugha vizuri na hawasemi, na kama unafikiria wanaoenda marekani wanaenda ongea unalo kule kazi wangu uongee na nani anaekujua utanuka mdomo hadi ukome.
 
iyo kua kama hauna sio raia sio kweli, ni haki ya kila raia kua nacho, those above 18, ila ukiwa huna haimaanishi kua unakosa haki za uraia
wenye mamlaka ya kudefine uraia wako ni idara ya uhamiaji Tanzania na sio NIDA
vinatofauti gani na vya wapiga kura
 
Tuwe Wakweli kwa hili zoezi linavyokwenda SIDHANI KAMA WATANZANIA WOTE WATAPATA HIVI VITAMBULISO
 
m nasubiri awamu ijayo hapa dar.nijiandikishe upya.awamu ya kwanza niliishia kuliona jina,kasheshe likaanza kwenye rang ya nguo,barua ya mjumbe, nikakwamia hapo
 
Hawa Nida hata siwaelewi,maana kwa mfano kwa Wilaya ya Ilala ambamo ndipo makazi yangu,mara nyingi nakua nje ya Taz kama mwezi kisha narudi baada ya iki naondoka tena,nikiwa DRC nikasikia tangazo kupitia radio moja ya Tz kuhusu kujiandikisha kwa kupata kitambulisho,niliporudi nikaambiwa kwa huku zoezi limeshapita,nikaenda Serikali za Mtaa,ckupata maelekezo yoyote,sasa sijui nikajiandikishie wilaya nyingine?!
 
Back
Top Bottom