kule kashozi?Huyo wa kushoto miguu kama wale wa kuleeeeeeeeeeee..... Kitambulisho kimetimia kila idara hicho.
kule kashozi?Huyo wa kushoto miguu kama wale wa kuleeeeeeeeeeee..... Kitambulisho kimetimia kila idara hicho.
oy wacha habari hizo ndugu.........................zinamuhusu muumba asee kuna wale hawana kabisaa wanajiburuza hapo chini kwa matako msiwe na akili za hivi ...u ruin ma day halafu unaonyesha ni mtu mzima y unaandika miandiko ya wavulana wa u dom mapema na asubuhi hii ?shame on uHuyo wa kushoto miguu kama wale wa kuleeeeeeeeeeee..... Kitambulisho kimetimia kila idara hicho.
Mkuu ashitakiwe kwa lipi?haha kwanini huyu maimu na yeye asishitakiwe hizi pesa zoote alizopoteza zitalipwa na nani maana kajilimbikizia nani atalipa anyanganywe mali zake
Ok. Ila kile cha awali ninacho hata huwa hakioneshi hiyo dalili, afu hiyo mirangi yao inafutika fasta sijui ni feki?Kina cheap bado ndani yake ndio maana kabla ya kupewa kinawekwa kwenye reader kikisoma na kuonyesha taarifa zako ndio unapewa
Mkuu labda cha kwako ulipewa kwa bahati mbaya kilipita bila kuchunguzwa kwani huwa vinawekwa lamination mbele na Nyumba ya kitambulisho ili kuzuia taarifa zisifuteOk. Ila kile cha awali ninacho hata huwa hakioneshi hiyo dalili, afu hiyo mirangi yao inafutika fasta sijui ni feki?
Vyote vipo hivo, inshort walibezi kupiga hela tu siyo kuja na brand ya value for Money. ID ya Taifa inazidiwa na ATM card za CRDB!!Mkuu labda cha kwako ulipewa kwa bahati mbaya kilipita bila kuchunguzwa kwani huwa vinawekwa lamination mbele na Nyumba ya kitambulisho ili kuzuia taarifa zisifute
Ashtakiwe kwa vipi? Wakati inadaiwa fedha alizikabidhi kwa '' wenyewe".haha kwanini huyu maimu na yeye asishitakiwe hizi pesa zoote alizopoteza zitalipwa na nani maana kajilimbikizia nani atalipa anyanganywe mali zake
Kitambulisho uchwara.Nimaajabu ya Tz peekee,kitambulisho kama hakina sahihi maana ya kitambulisho inakuwa wapi?kitambulisho cha mtendaji kinayo sasahihi,itakuwa cha taifa watu wazima hovyo.!
Easy... easy! Just funny and humourous! Wakati mwingine tafsiri haiwi sahihi sana.oy wacha habari hizo ndugu.........................zinamuhusu muumba asee kuna wale hawana kabisaa wanajiburuza hapo chini kwa matako msiwe na akili za hivi ...u ruin ma day halafu unaonyesha ni mtu mzima y unaandika miandiko ya wavulana wa u dom mapema na asubuhi hii ?shame on u
hapana hapana usifanye hivyo buana.............Easy... easy! Just funny and humourous! Wakati mwingine tafsiri haiwi sahihi sana.