Vitambulisho vimepotea

Spectophotometer

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2019
Posts
375
Reaction score
503
Habari wanajukwaa.
Natangaza kupotelewa na vitambulisho vilivyopotea tarehe 14/05/2025 Safarini kutoka jijini Mwanza kuelekea jijini Dar es Salaam.
Vitambulisho hivyo vina majina ya FRANCES SANGA.Donge nono litatolewa.
Mawasiliano 0752838728.
Natanguliza shukran.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…