computer engineer
Member
- Mar 26, 2018
- 76
- 38
Hi wana JF
Naomba msaada kwa ambae anaweza kuwa na PDF ya vitabu vya kujifunza kutengeneza applications za simu kwa beginners. Nahitaji niwe IT kwa kujisomea mwenyewe, at least now nimejifunza graphics designing na sasahivi napiga kazi vizuri, nmejifunza pia Blogging sasaiv nipo vizuri pia nimeanza kujifunza coding na pia nahtaji nijifunze app development.
Naomba msaada kwa ambae anaweza kuwa na PDF ya vitabu vya kujifunza kutengeneza applications za simu kwa beginners. Nahitaji niwe IT kwa kujisomea mwenyewe, at least now nimejifunza graphics designing na sasahivi napiga kazi vizuri, nmejifunza pia Blogging sasaiv nipo vizuri pia nimeanza kujifunza coding na pia nahtaji nijifunze app development.