Vitabu 10 ambayo vitakujenga

Youngblood

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2014
Posts
19,504
Reaction score
57,049
Habari zenu wakuu.
Vipo vitabu vingi ambavyo unaweza kusoma lakini leo naomba niwape list ya vitabu kumi na mbili ambavyo kwa upande wangu nadhani ukivisoma na kufuata maelekezo utaweza kubadili maisha yako kwa ujumla.

NB.Nimeongeza list ya vitabu vingine ambavyo nimevisoma mpaka sasa.

NB.
Unaweza pia kutupa list yako ya vitabu unavyoona ni vizuri watu wakavisoma.

1.How to win friend and influence people by DALE CARNEGIE.
2.Rich Dad poor Dad by ROBERT KIYOSAKI.
3.Cash flow quadrant by ROBERT KIYOSAKI
4.The slight edge by JEFF OLSON.
5.Mastery by ROBERT GREEN
6.Antifragile by NASSIM TALEB
7.Predictably irrational by DAN ARIELY
8.Start with why by SIMON SINEK
9.The 4 hour workweek/Escape 9-5.by TIM FERRISS
10. Outliers by MALCOLM GRADWEL.
11.The 48 law of power by ROBERT GREEN
12.The obstacle is the way by RYAN HOLIDAY.
 
Yaani hicho cha HOW TO FIN FRIENDS AND INFLUENCE PEOPLE ningeshauri kila mtu akisome.
Nilipoteza changu sijui naweza kukipata wapi mkuu.!?
Ingia playstore udownload. Mim nilivipata huko baadhi ya hivyo vitabu
 
Yaani hicho cha HOW TO FIN FRIENDS AND INFLUENCE PEOPLE ningeshauri kila mtu akisome.
Nilipoteza changu sijui naweza kukipata wapi mkuu.!?
Kuna mdau amesha kitupia humu, na tayari nimeanza kukisoma hapa.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…