Vita ya Wabena na Wakinga

Vita ya Wabena na Wakinga

Na sunnah ya kumsalia mtume ndio yenye thawabu!mwamba kajipendelea sana kwenye himaya yake maana kaoa zaidinya wake 9 ila yeye kawambia wa 4

nakufundisha we binadamu mjawa kiburi na muabudu sanamu kuwa anaetunga sheria ni allah sio mtume kwa hiyo alieweka sheria ya wake 4 kwa sisi ni allah na alieweka sheria kuwa muhammad aoe wake 9 ni allah
 
nakufundisha we binadamu mjawa kiburi na muabudu sanamu kuwa anaetunga sheria ni allah sio mtume kwa hiyo alieweka sheria ya wake 4 kwa sisi ni allah na alieweka sheria kuwa muhammad aoe wake 9 ni allah
Mmepigwa hapo allah alikua anafata momo anachotaka ndomana jipe homework kuwa neutral utaona sehemu nyingi momo alipokosea Aya inashuka kumtetea au kuweka ufafanuI kuficha kosa lake
 
Momo mwamba wakikureshi utume aliopewa kwa kubanwa na mtu asiyemjua hajawahi kutajwa popote kwenye biblia

kumtambua kuwa ni nabii haikuhitaji kutajwa kwenye biblia

ulipaswa kumuamini na kumtii ila sababu wewe ni mjawa kiburi unafanya unayoyafanya hapa kama kawaida ya waabudu sanamu
 
kumtambua kuwa ni nabii haikuhitaji kutajwa kwenye biblia

ulipaswa kumuamini na kumtii ila sababu wewe ni mjawa kiburi unafanya unayoyafanya hapa kama kawaida ya waabudu sanamu
Sisi tuliambiwa nabii asiyemkiri kristo na mafundisho ya kristo ni nabii wa uongo
 
Mmepigwa hapo allah alikua anafata momo anachotaka ndomana jipe homework kuwa neutral utaona sehemu nyingi momo alipokosea Aya inashuka kumtetea au kuweka ufafanuI kuficha kosa lake


ewe muabudu sanamu na adui wa allah hakujawahi kuwa na kasoro na hakutakuja kuwa na kasoro katika dini ya muhammad mkureshi

unajipiga mwenyewe na majini mafuasi ya ibilisi yanayokushauri moyo wako

najua hujui ila nakufundisha ewe muabudu sanamu kwamba majini yanampaga mawazo binadamu kitu hiko kwa kiislamu inaitwa waswasa
 
Sisi tuliambiwa nabii asiyemkiri kristo na mafundisho ya kristo ni nabii wa uongo


mbona allah anasema kuwa nyie wakristo na wayahudi mnamtambua mtume kama mnavyowatambua watoto wenu wa kiume?

kumtambua nabii haihitaji kuambiwa ni unaona wewe mwenyewe laivu kama wewe unavyomtambua mtume ila si una kiburi na wamtaka uadui allah azza wa jalla
 
ewe muabudu sanamu na adui wa allah hakujawahi kuwa na kasoro na hakutakuja kuwa na kasoro katika dini ya muhammad mkureshi

unajipiga mwenyewe na majini mafuasi ya ibilisi yanayokushauri moyo wako

najua hujui ila nakufundisha ewe muabudu sanamu kwamba majini yanampaga mawazo binadamu kitu hiko kwa kiislamu inaitwa waswasa
Mila ya kikureshi ina kasoro sana ila fatilia mwenyewe usichukue tafsiri za wanazioni wanaharibu ujumbe na kuweka fafanuzi za uongo
 
mzee unaongea kwa code sana
Bwana yule aliua Baba akamchukua Binti yake kinguvu akaoa Kaka akiwa yupo Cuba anachukua mafunzo ya kijeshi akaapa akirudi lazima ammalize Bwana yule kweli aliporudi target ilikua ni kwenda kummaliza Bwana yule na ikawa hivyo alimmaliza na yeye akamalizwa ndio ukawa
 
mzee unaongea kwa code sana
Kaka mtu aliporudi kutoka Cuba akiwa Mwanajeshi kamili aliefunzu mafunzo ya kijeshi Cuba akaenda kumfuata Bwana yule kwa hasira Bwana yule bila kujua hili wala lile akawa anacheza bao na wazee wenzie km ilivyokua desturi yake maana bao ndio ulikua mchezo wake pendwa basi Kaka mtu kwa hasira za Dada yake kuolewa kinguvu na Baba yake kufyekwa na Bwana yule alipofika pale hakuuliza mara 2 alinyoosha bunduki kumuelekea Bwana yule akapiga za kutosha Bwana yule pale pale umauti ukamkuta
 
mbona allah anasema kuwa nyie wakristo na wayahudi mnamtambua mtume kama mnavyowatambua watoto wenu wa kiume?

kumtambua nabii haihitaji kuambiwa ni unaona wewe mwenyewe laivu kama wewe unavyomtambua mtume ila si una kiburi na wamtaka uadui allah azza wa jalla
mohamed hajawai kuwa kwenye biblia nwala Torati
Kifupi mna miungu yenu ya kiarabu
 
Basi Kaka mtu akiwa Cuba kuchukua mafunzo hatari ya kijeshi na mbinu za kumkabiri adui akapokea taarifa kwamba huku nyumbani Dada yako kachukuliwa kinguvu na Bwana yule na Baba yako pia kafyekwa sababu alikua anasadifu Serikali ile iliyokua kabla, Kaka mtu akawakwa hasira na kuapa akirejea nyumbani Bwana yule hatomuacha aishi wenzie wakahisi anatania kumbe alikua kweli amedhamiria basi siku ya siku Kaka mtu akarudi Safari ikaanzia Dar usiku moja kwa moja akakwea Boti kwenda kumfuata Bwana yule huku Bwana yule akiwa hana hili wala lile kumbe yule Dada aliemchukua kinguvu Kaka yake anakuja akiwa tayari ameshakua mwanajeshi mwenye mafunzo hatari ya kijeshi 'Komandoo' kutoka Cuba
 
Basi Kaka mtu akiwa Cuba kuchukua mafunzo hatari ya kijeshi na mbinu za kumkabiri adui akapokea taarifa kwamba huku nyumbani Dada yako kachukuliwa kinguvu na Bwana yule na Baba yako pia kafyekwa sababu alikua anasadifu Serikali ile iliyokua kabla, Kaka mtu akawakwa hasira na kuapa akirejea nyumbani Bwana yule hatomuacha aishi wenzie wakahisi anatania kumbe alikua kweli amedhamiria basi siku ya siku Kaka mtu akarudi Safari ikaanzia Dar usiku moja kwa moja akakwea Boti kwenda kumfuata Bwana yule huku Bwana yule akiwa hana hili wala lile kumbe yule Dada aliemchukua kinguvu Kaka yake anakuja akiwa tayari ameshakua mwanajeshi mwenye mafunzo hatari ya kijeshi 'Komandoo' kutoka Cuba
Jaman aliyeelewa hapa anisaidie
 
Jaman aliyeelewa hapa anisaidie
Kaka mtu alipofika kutoka Dar na ile Boti akashuka moja kwa moja kwenda kuambatana na wenziwe waliokwisha chukua silaha kutoka kwenye ghala la silaha kwenye kambi ya Jeshi tayari kwa kwenda kumvamia Bwana yule na kuhakikisha haishi yaan anapoteza uhai, muda ulipowadia majira ya jioni Kaka mtu na wenzie wakaelekea kwenye Jumba jeupe alipokua Bwana yule dhumuni na lengo ni kwenda kummaliza mara moja kisha kutokomea kusikojulikana kumbe isivyobahati Bwana yule analindwa na walinzi wenye silaha za moto basi Kaka mtu na wenzie wakafanikiwa kuingia kwenye Jengo lile jeupe moja kwa moja mpaka alipokua Bwana yule akiwa na wenzie wamejipumzisha kwa kucheza mchezo wa Bao akakunja goti moja chini akaweka silaha yake sawa akaanza kuzimimina kuwaelekea Bwana yule na wenzie aliokua anacheza nao Bao
 
Back
Top Bottom